Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimefuatilia kwa umakini hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa Jumatatu Julai 2, 2018 wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali walioteuliwa kuchukua nyadhifa mbalimbali Serikalini. Kupitia hotuba hiyo Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebaini masuala chanya ambayo Kituo kimekuwa kikiyafanyia utetezi, lakini pia baadhi ya mambo hasi ambayo si shamirishi kwa haki za binadamu na utawala bora. Soma hapa
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.

LEAVE A REPLY
Your email address will not be published.