Siku ya Mtoto wa Afrika: Changamoto zinazowakabili Watoto Tanzania
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaungana na jamii ya ulimwengu kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika ambayo huadhimishwa Juni 16 tangu ilipoainishwa rasmi na Junuiya ya Umoja wa Afrika mwaka 1991.
Katika kuadhimisha siku hii yenye kauli mbiu inayosema “Maendeleo Endelevu 2030: Imarisha Ulinzi na Fursa Sawa kwa Watoto” Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kupitia Ripoti ya Haki za Binadamu 2016 kimebaini changamoto lukuki ambazo zinadumaza ustawi wa watoto nchini Tanzania. Changamoto hizo ni pamoja na:
Sababu kuu ya kuzidi kuongezeka kwa changamoto hizo ni pamoja na sheria kandamizi kama sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inayoruhusu msichana kuolewa akiwa na umri chini ya miaka 18; serikali kutenga bajeti duni kwenye huduma za kijamii ikiwemo afya na elimu; umasikini; mila potofu; Imani za kishirikina; uendeshaji mashitaka kucheleweshwa katika vyombo vya utoaji haki; malezi duni kwa watoto; rushwa pamoja na familia na ndugu wa wahanga kujaribu kuficha aibu ndani ya familia.
Kituo chja Sheria na Haki za Binadamu kinapendekeza yafuatayo katika kudumisha ustawi wa watoto nchini Tanzania:
Mwisho, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaamini watoto ni hazina ya taifa lolote lenye dira ya maendeleo hivyo ni wajibu wa kila mmoja kudumisha ulinzi kwa watoto.
Imetolewa Ijumaa, Juni 16 2017
Bi. Anna Henga
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
Your email address will not be published.
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.

7 COMMENTS FOUND
Alexandra Says:
February 2nd ,2018 4:03 AMslimming tablets gnc diet pills that really work best new prescription diet pills 2017 best weight loss pills best weight loss products
Adrian Says:
February 2th ,2018 5:41 AMprescription weight loss pills best diet pills to lose weight lose weight fast green tea weight loss appetite suppressant